THE LUTHERAN RADIO CENTRE |
ANNOUNCEMENTS: |
|||||
|
Huwezi kusikiliza Radio Sauti ya
Injili kwenye dayosisi yako bado? Juzi wachungaji kutoka Mwanza wametembelea studio ya Radio Sauti ya Injili na swali hilo: Kwanza inatakiwa uwanja juu ya mlima. Mawimbi wa masafa ya FM yanatembea ubali unavyoweza kuona na kidogo zaidi tu. Hawawezi kupita mlima mwingine maanake nyuma ya yule mlima mwingine wasikilisaji watakuwa kivulini na hawataweza kusikiliza tena. Halafu tunahitachi Umeme ya Tanesco kule Juu ya Mlima: Kwa ile mitambo a watts 250 tunatumia banda ndogo inatosha. Kama unapenda kuhudumia eneo kubwa zaidi na watts 1000 unahitachi nyumba kubwa zaidi. Kariabu ya ile nyumba ndogo tunahitachi mnara ya antenna na antenna zake. Aina gani inategemea eneo unapenda isikiki.. Ndani ya yule nyumba ndogo tunaweka ile mitabbo (transmitter) na vyombo kuunganisha na studio (Link). Lakini muhimu sana ni kupata kibali ya serekali, ni kupata liseni ya ile mitambo kutoka TCRA. Bila Liseni huwezi kupata Frequency kuenda hewani. Hapa Kituo cha Radio Sauti ya Injili wanakusaidia pia. Haya yote inapatikana namna gani? Mahali pengine Askofu ya Dayosisi ameomba donors mbalimbali kusaidia na gharama kununua mitambo na antennas. Mnara ya antenna imetengenezwa hapa Tanzania. Marafiki wamesaidia kupata wanja juu ya mlima na wanasaidia hata na usalama ya mahali pale.
|
|
||||
Important Links: ELCT LRC
Mirror site Tansania LRC
ELCT LRC
Backupserver LWF RADIO UPENDO DAR RADIO FURAHA TWR Habari Maalum All Rights Reserved 2015 |